Friday, April 8, 2016

Matandika asimamishwa kazi TFF

Matandika asimamishwa kazi TFF Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Mwesigwa Selestine amemsimamisha Juma Matandika kupisha uchunguzi kuhusu tuhuma zinazohusiana na hadhi za wachezaji, shirikisho hilo limesema.

No comments:

Post a Comment