Sunday, April 3, 2016
Rais magufuli akutana na raila odinga
Magufuli akutana na Raila Odinga
Rais wa Tanzania John Magufuli amekutana na kiongozi wa mrengo wa upinzani Kenya, aliyekuwa waziri mkuu Bw Raila Odinga, aliyemtembelea mapumzikoni katika kijiji cha Kilimani, wilaya ya Chato katika mkoa wa Geita kaskazini magharibi mwa Tanzania.
Bw Odinga amesema: "Nimekuja kupumzika na nimekuja na Mama na Mtoto wangu wa kike (Winnie Odinga), na vilevile kuja kutoa pongezi kwa ndugu yangu kwani tangu achaguliwe sijakuja hapa Chato, na nilisema siendi Dar es Salaam nitakuja hapahapa Chato".
bbcswahili.com
Bw Odinga alikuwa miongoni mwa viongozi waliompongeza Dkt Magufuli baada yake kuchaguliwa kuwa rais.
http://www.bbc.com/swahili/
medianuai/2015/10/151029_raila_odi
nga_matokeo_magufuli
Yesterday at 7:07pm · Publi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment