Sunday, April 3, 2016

Rais magufuli akutana na raila odinga

Magufuli akutana na Raila Odinga Rais wa Tanzania John Magufuli amekutana na kiongozi wa mrengo wa upinzani Kenya, aliyekuwa waziri mkuu Bw Raila Odinga, aliyemtembelea mapumzikoni katika kijiji cha Kilimani, wilaya ya Chato katika mkoa wa Geita kaskazini magharibi mwa Tanzania. Bw Odinga amesema: "Nimekuja kupumzika na nimekuja na Mama na Mtoto wangu wa kike (Winnie Odinga), na vilevile kuja kutoa pongezi kwa ndugu yangu kwani tangu achaguliwe sijakuja hapa Chato, na nilisema siendi Dar es Salaam nitakuja hapahapa Chato". bbcswahili.com Bw Odinga alikuwa miongoni mwa viongozi waliompongeza Dkt Magufuli baada yake kuchaguliwa kuwa rais. http://www.bbc.com/swahili/ medianuai/2015/10/151029_raila_odi nga_matokeo_magufuli Yesterday at 7:07pm · Publi

No comments:

Post a Comment